sw_tn/psa/050/023.md

347 B

hupanga njia yake katika namna sahihi

Mungu anazungumzia jinsi mtu anavyoishi kana kwamba ni njia ambayo mtu anasafiri. "huishi maisha yake katika njia sahihi"

Nitaonesha wokovu wa Mungu

Hapa Mungu anazungumzia kumwokoa mtu kana kwamba ilikuwa ni kumsababisha mtu kuona wokovu wake. Anajizungumzia katika hali ya mtu wa tatu. "Nitamwokoa"