sw_tn/psa/050/006.md

210 B

Mbingu zitatangaza

Maana zinazowezekana ni 1) mwandishi anatumia neno "mbingu" kumaanisha malaika wanaoishi huko. au 2) mwandishi anazungumzia "mbingu" kana kwamba ni mtu anayeshuhudia kuhusu haki ya Mungu.