sw_tn/psa/050/006.md

4 lines
210 B
Markdown
Raw Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Mbingu zitatangaza
Maana zinazowezekana ni 1) mwandishi anatumia neno "mbingu" kumaanisha malaika wanaoishi huko. au 2) mwandishi anazungumzia "mbingu" kana kwamba ni mtu anayeshuhudia kuhusu haki ya Mungu.