sw_tn/psa/049/012.md

278 B

Lakini mtu, akiwa na mali

"Lakini mtu, hata kama ana mali"

Hii, njia yao, ni upuuzi wao

Mwandishi anazungumzia hatima ya wapumbavu kana kwamba ni mwisho wao katika njia wanayotembea. "Hii ndio hatima ya wale wanaotenda upuuzi"

lakini baada yao

"lakini baada ya kufa"