sw_tn/psa/049/009.md

386 B

ili mwili wake usioze

Hii inamaanisha mwili kuoza katika kaburi.

ataona uozo

Mwandishi anazungumzia kupitia kitu kana kwamba ilikuwa ni kukiona hicho kitu. "atakufa na mwili wake kuoza"

Watu wenye hekima hufa; mpumbavu na mjinga wote wanaangamia

Mwandishi anamaanisha watu wote kwa kuwataja wale walio na hekima nyingi zaidi na kidogo zaidi.

mjinga

mtu ambaye hajui kitu