forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
386 B
Markdown
16 lines
386 B
Markdown
|
# ili mwili wake usioze
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha mwili kuoza katika kaburi.
|
||
|
|
||
|
# ataona uozo
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anazungumzia kupitia kitu kana kwamba ilikuwa ni kukiona hicho kitu. "atakufa na mwili wake kuoza"
|
||
|
|
||
|
# Watu wenye hekima hufa; mpumbavu na mjinga wote wanaangamia
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anamaanisha watu wote kwa kuwataja wale walio na hekima nyingi zaidi na kidogo zaidi.
|
||
|
|
||
|
# mjinga
|
||
|
|
||
|
mtu ambaye hajui kitu
|