forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
462 B
Markdown
20 lines
462 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.
|
|
|
|
# Kwa mwanamuziki mkuu
|
|
|
|
"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu"
|
|
|
|
# Zaburi ya wana wa Kora
|
|
|
|
"Hii ni zaburi iliyoandikwa na wana wa Kora"
|
|
|
|
# Piga makofi
|
|
|
|
Kupiga makofi inahiusishwa na sherehe. "Piga makofi kwa kusherehekea"
|
|
|
|
# piga kelele kwa Mungu na sauti ya ushindi
|
|
|
|
piga kelele kwa Mungu na sauti za furaha." Hapa neno "ushindi" inamaanisha furaha inayohusiana na ushindi
|