sw_tn/psa/047/001.md

20 lines
462 B
Markdown

# Taarifa ya Jumla:
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.
# Kwa mwanamuziki mkuu
"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu"
# Zaburi ya wana wa Kora
"Hii ni zaburi iliyoandikwa na wana wa Kora"
# Piga makofi
Kupiga makofi inahiusishwa na sherehe. "Piga makofi kwa kusherehekea"
# piga kelele kwa Mungu na sauti ya ushindi
piga kelele kwa Mungu na sauti za furaha." Hapa neno "ushindi" inamaanisha furaha inayohusiana na ushindi