sw_tn/psa/047/001.md

462 B

Taarifa ya Jumla:

Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.

Kwa mwanamuziki mkuu

"Hii ni kwa kiongozi wa muziki kutumia katika kuabudu"

Zaburi ya wana wa Kora

"Hii ni zaburi iliyoandikwa na wana wa Kora"

Piga makofi

Kupiga makofi inahiusishwa na sherehe. "Piga makofi kwa kusherehekea"

piga kelele kwa Mungu na sauti ya ushindi

piga kelele kwa Mungu na sauti za furaha." Hapa neno "ushindi" inamaanisha furaha inayohusiana na ushindi