forked from WA-Catalog/sw_tn
689 B
689 B
Kuwa kimya na ujue kuwa mimi ni Mungu
Hapa, Mungu anaanza kuzungumza.
Kuwa kimya
Katika hali hii, maneno haya yanawezekana kuwa ni amri kwa mataifa kukomesha vita vyao. "Acheni kupigana"
ujue kuwa mimi ni Mungu
Hapa neno "kujua" inamaanisha kuelewa na kukiri kuwa Yahwe ndiye Mungu wa kweli.
Nitatukuzwa katika mataifa; nitatukuzwa duniani
Misemo hii miwili inamaana sawa na inasisitiza kuwa watu wa kila taifa duniani watamtukuza Mungu. "Watu katika kila taifa watanitukuza; watu duniani kote watanitukuza"
Yahwe wa majeshi yuko nasi; Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu
Mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba ni sehemu ambayo watu wanaweza kwenda kwa ajili ya ulinzi.