forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
689 B
Markdown
20 lines
689 B
Markdown
|
# Kuwa kimya na ujue kuwa mimi ni Mungu
|
||
|
|
||
|
Hapa, Mungu anaanza kuzungumza.
|
||
|
|
||
|
# Kuwa kimya
|
||
|
|
||
|
Katika hali hii, maneno haya yanawezekana kuwa ni amri kwa mataifa kukomesha vita vyao. "Acheni kupigana"
|
||
|
|
||
|
# ujue kuwa mimi ni Mungu
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "kujua" inamaanisha kuelewa na kukiri kuwa Yahwe ndiye Mungu wa kweli.
|
||
|
|
||
|
# Nitatukuzwa katika mataifa; nitatukuzwa duniani
|
||
|
|
||
|
Misemo hii miwili inamaana sawa na inasisitiza kuwa watu wa kila taifa duniani watamtukuza Mungu. "Watu katika kila taifa watanitukuza; watu duniani kote watanitukuza"
|
||
|
|
||
|
# Yahwe wa majeshi yuko nasi; Mungu wa Yakobo ni kimbilio letu
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anamzungumzia Mungu kana kwamba ni sehemu ambayo watu wanaweza kwenda kwa ajili ya ulinzi.
|