sw_tn/amo/05/03.md

16 lines
689 B
Markdown

# Bwana Yahwe, Yahwe Mungu
Katika Agano la Kale, "Bwana Yahwe" mara kwa mara limetuika limerejea kwa Mungu wa kweli mmoja."
# nyumba
Neno "nyumba" mara nyingi limetumika katika Biblia.
* Wakati mwingine linamaanisha "kaya," kurejea watu waishio pamoja katika nyumba moja.
* Mara nyingi "nyumba" hurejea kwa ukoo wa mtu au ndugu wengine. Kwa mfano, kirai "nyumba ya Daudi" hurejea kwa koo zote za Mfalme Daudi.
* Maneno "nyumba ya Mungu" na "nyumba ya Yahwe" hurejea kwa hema au hekalu. Haya maelezo pia unaweza kurejea kiujumla mahali Mungu alipo au makao.
# Israeli, Waisraeli, taifa la Israeli
Neno "Israeli" ni jina ambalo Mungu alipatia Yakobo. Lina maana, "amepigana na Mungu."