forked from WA-Catalog/sw_tn
689 B
689 B
Bwana Yahwe, Yahwe Mungu
Katika Agano la Kale, "Bwana Yahwe" mara kwa mara limetuika limerejea kwa Mungu wa kweli mmoja."
nyumba
Neno "nyumba" mara nyingi limetumika katika Biblia.
- Wakati mwingine linamaanisha "kaya," kurejea watu waishio pamoja katika nyumba moja.
- Mara nyingi "nyumba" hurejea kwa ukoo wa mtu au ndugu wengine. Kwa mfano, kirai "nyumba ya Daudi" hurejea kwa koo zote za Mfalme Daudi.
- Maneno "nyumba ya Mungu" na "nyumba ya Yahwe" hurejea kwa hema au hekalu. Haya maelezo pia unaweza kurejea kiujumla mahali Mungu alipo au makao.
Israeli, Waisraeli, taifa la Israeli
Neno "Israeli" ni jina ambalo Mungu alipatia Yakobo. Lina maana, "amepigana na Mungu."