sw_tn/2sa/02/14.md

14 lines
456 B
Markdown

# Abneri
Abneri alikuwa ni binamu wa Mfalme Sauli katika Agano la Kale
* Abneri alikuwa Jemedari mkuu wa jeshi la Sauli, na alimtambulisha kijana Daudi kwa Sauli baada ya Daudi kumwua Goliathi
# -inuka,inuka,inuka,inuka, inuka
-inuka, inuka juu - kwa ujumla, neno "inuka" linamaanisha"inuka juu" au "weka juu."
# Benjamini
Alikuwa mtoto mdogo kuliko wote aliyezaliwa kwa Yakobo na mke wake Raheli. Jina linamaanisha, "mwana wa mkono wangu wa kuume"