sw_tn/2sa/02/14.md

456 B

Abneri

Abneri alikuwa ni binamu wa Mfalme Sauli katika Agano la Kale

  • Abneri alikuwa Jemedari mkuu wa jeshi la Sauli, na alimtambulisha kijana Daudi kwa Sauli baada ya Daudi kumwua Goliathi

-inuka,inuka,inuka,inuka, inuka

-inuka, inuka juu - kwa ujumla, neno "inuka" linamaanisha"inuka juu" au "weka juu."

Benjamini

Alikuwa mtoto mdogo kuliko wote aliyezaliwa kwa Yakobo na mke wake Raheli. Jina linamaanisha, "mwana wa mkono wangu wa kuume"