forked from WA-Catalog/sw_tn
411 B
411 B
Mwanakondoo
"mwanakondoo" ni mtoto wa kiume wa kondoo. Hapa hutumika kushiria kuwa ni Kristo.
wazee ishirini na wanne
wazee wanne** -"wazee 24"
wakainama hadi nchi
Kulala chini kwa kutazama ardhi.
Kila mmoja
Maana zinazowezekana ni 1)"kila mzee ni kiumbe hai" au 2)"kila mzee"
bakuli ya dhahabu iliyojaa uvumba ambayo ni maombi ya waamini
Uvumba hapa ni alama ya maombi ya waumini wa Mungu.