forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
411 B
Markdown
21 lines
411 B
Markdown
|
# Mwanakondoo
|
||
|
|
||
|
"mwanakondoo" ni mtoto wa kiume wa kondoo. Hapa hutumika kushiria kuwa ni Kristo.
|
||
|
|
||
|
# wazee ishirini na wanne
|
||
|
|
||
|
wazee wanne** -"wazee 24"
|
||
|
|
||
|
# wakainama hadi nchi
|
||
|
|
||
|
Kulala chini kwa kutazama ardhi.
|
||
|
|
||
|
# Kila mmoja
|
||
|
|
||
|
Maana zinazowezekana ni 1)"kila mzee ni kiumbe hai" au 2)"kila mzee"
|
||
|
|
||
|
# bakuli ya dhahabu iliyojaa uvumba ambayo ni maombi ya waamini
|
||
|
|
||
|
Uvumba hapa ni alama ya maombi ya waumini wa Mungu.
|
||
|
|