sw_tn/rev/05/03.md

25 lines
772 B
Markdown

# mbinguni au duniani au chini ya dunia
Hii inamaanisha mahali pote: Mahali ambapo Mungu na malaika huishi, mahali ambapo watu na wanyama huishi, na mahali ambapo wale waliokufa walipo.
# Tazama
"Sikiliza" au "kuwa makini na jambo nilotaka kukuambia"
# Simba wa kabila ya Yuda
Hili ni jina la mtu kutoka kabila la Yuda ambaye Mungu aliahidi atakuwa mfalme mkuu. "Yule aitwaye Simba wa kabila la Yuda" au "Mfalme aitwaye Simba wa kabila la Yuda"
# Simba
Mfalme anazungumziwa kama vile yeye ni simba kwa sababu simba ni mnyama imara sana.
# shina la Daudi
Huyu ni mzawa wa kizazi cha Daudi ambaye Mungu aliahidi atakuwa mfalme mkuu. "yule aitwaye shina la Daudi"
# shina la Daudi
Huyu mzawa anazungumziwa kama vile familia ya Daudi ni mti na yeye ni shina lake.