forked from WA-Catalog/sw_tn
25 lines
772 B
Markdown
25 lines
772 B
Markdown
# mbinguni au duniani au chini ya dunia
|
|
|
|
Hii inamaanisha mahali pote: Mahali ambapo Mungu na malaika huishi, mahali ambapo watu na wanyama huishi, na mahali ambapo wale waliokufa walipo.
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
"Sikiliza" au "kuwa makini na jambo nilotaka kukuambia"
|
|
|
|
# Simba wa kabila ya Yuda
|
|
|
|
Hili ni jina la mtu kutoka kabila la Yuda ambaye Mungu aliahidi atakuwa mfalme mkuu. "Yule aitwaye Simba wa kabila la Yuda" au "Mfalme aitwaye Simba wa kabila la Yuda"
|
|
|
|
# Simba
|
|
|
|
Mfalme anazungumziwa kama vile yeye ni simba kwa sababu simba ni mnyama imara sana.
|
|
|
|
# shina la Daudi
|
|
|
|
Huyu ni mzawa wa kizazi cha Daudi ambaye Mungu aliahidi atakuwa mfalme mkuu. "yule aitwaye shina la Daudi"
|
|
|
|
# shina la Daudi
|
|
|
|
Huyu mzawa anazungumziwa kama vile familia ya Daudi ni mti na yeye ni shina lake.
|
|
|