sw_tn/rev/05/03.md

772 B

mbinguni au duniani au chini ya dunia

Hii inamaanisha mahali pote: Mahali ambapo Mungu na malaika huishi, mahali ambapo watu na wanyama huishi, na mahali ambapo wale waliokufa walipo.

Tazama

"Sikiliza" au "kuwa makini na jambo nilotaka kukuambia"

Simba wa kabila ya Yuda

Hili ni jina la mtu kutoka kabila la Yuda ambaye Mungu aliahidi atakuwa mfalme mkuu. "Yule aitwaye Simba wa kabila la Yuda" au "Mfalme aitwaye Simba wa kabila la Yuda"

Simba

Mfalme anazungumziwa kama vile yeye ni simba kwa sababu simba ni mnyama imara sana.

shina la Daudi

Huyu ni mzawa wa kizazi cha Daudi ambaye Mungu aliahidi atakuwa mfalme mkuu. "yule aitwaye shina la Daudi"

shina la Daudi

Huyu mzawa anazungumziwa kama vile familia ya Daudi ni mti na yeye ni shina lake.