forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
675 B
Markdown
29 lines
675 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Usambamba ni kawaida katika mashairi ya Kiebrania.
|
|
|
|
# Zaburi ya Daudi
|
|
|
|
Maana zinazowezekana ni 1) Daudi aliiandika zaburi au 2) zaburi inamhusu Daudi au 3) zaburi iko katika mtindo wa zaburi za Daudi.
|
|
|
|
# Sikia ombi langu
|
|
|
|
Maneno "ombi langu" ni njia nyingine ya kusema mtu anaye omba. "Nisikilie ninapoomba kwako" au "Kuwa tayari kufanya ninachokuomba kufanya"
|
|
|
|
# nijibu
|
|
|
|
"tafadhali fanya ninachokuomba ufanye"
|
|
|
|
# Usiingie hukumuni
|
|
|
|
"Tafadhali usinihukumu" au "Nakusihi usinihukumu"
|
|
|
|
# mtumishi wako
|
|
|
|
Mwandishi anajizungumzia mwenyewe kana kwamba anamzungumzia mtu mwingine. "mimi"
|
|
|
|
# machoni pako hakuna aliye na haki
|
|
|
|
"haufikiri kuwa yeyote ana haki"
|
|
|