forked from WA-Catalog/sw_tn
351 B
351 B
watoto wake
"uzao wa Daudi"
nitaadhibu uasi wao kwa fimbo
Mungu kuadhibu uzao wa Daudi inazungumziwa kana kwamba atawapiga kwa fimbo. "nitawaadhibu kwa kuasi dhidi yangu"
na udhalimu wao kwa mapigo
Mungu kuadhibu uzao wa Daudi inazungumziwa kana kwamba Mungu atawapiga kiuhalisia. "na nitawaadhibu kwa sababu wametenda dhambi dhidi yangu"