forked from WA-Catalog/sw_tn
13 lines
351 B
Markdown
13 lines
351 B
Markdown
|
# watoto wake
|
||
|
|
||
|
"uzao wa Daudi"
|
||
|
|
||
|
# nitaadhibu uasi wao kwa fimbo
|
||
|
|
||
|
Mungu kuadhibu uzao wa Daudi inazungumziwa kana kwamba atawapiga kwa fimbo. "nitawaadhibu kwa kuasi dhidi yangu"
|
||
|
|
||
|
# na udhalimu wao kwa mapigo
|
||
|
|
||
|
Mungu kuadhibu uzao wa Daudi inazungumziwa kana kwamba Mungu atawapiga kiuhalisia. "na nitawaadhibu kwa sababu wametenda dhambi dhidi yangu"
|
||
|
|