forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
382 B
Markdown
17 lines
382 B
Markdown
# waliwaona wakiondoka
|
|
|
|
"watu walimuona Yesu na mitume wakiondoka"
|
|
|
|
# kwa miguu
|
|
|
|
Watu walienda kwa miguu kutoka miji yote, ambapo inajipinga na namna wanafunzi walienda kwa mtumbwi.
|
|
|
|
# aliona umati mkubwa
|
|
|
|
"Yesu aliona umati mkubwa"
|
|
|
|
# walikuwa kama kondoo wasiokuwa na mchungaji
|
|
|
|
Yesu analinganisha watu kwa kondoo waliochanganyikiwa pindi wanapokosa mchungaji wao wa kuwaongoza.
|
|
|