forked from WA-Catalog/sw_tn
348 B
348 B
wale waliokuwa karibu na Yesu
Hii inaonyesha wanafunzi wa Yesu.
hayo yanayotokea
Tafsiri mbadala: "kwamba makuhani na maaskari walikuwa na watu wa kumkamata Yesu"
akampiga mtumishi wa kuhani mkuu
"akampiga mtumishi wa kuhani mkuu kwa panga"
akagusa sikio lake
Tafsiri mbadala: "akamgusa mahali ambapo sikio lake lilikuwa limekatwa"