forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
348 B
Markdown
17 lines
348 B
Markdown
# wale waliokuwa karibu na Yesu
|
|
|
|
Hii inaonyesha wanafunzi wa Yesu.
|
|
|
|
# hayo yanayotokea
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "kwamba makuhani na maaskari walikuwa na watu wa kumkamata Yesu"
|
|
|
|
# akampiga mtumishi wa kuhani mkuu
|
|
|
|
"akampiga mtumishi wa kuhani mkuu kwa panga"
|
|
|
|
# akagusa sikio lake
|
|
|
|
Tafsiri mbadala: "akamgusa mahali ambapo sikio lake lilikuwa limekatwa"
|
|
|