forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
450 B
Markdown
17 lines
450 B
Markdown
# Usiuruhusu mdomo wako kusababisha mwili wako kutenda dhambi
|
|
|
|
"Usiruhusu kile unenacho kikusababishe utende dhambi"
|
|
|
|
# kwa nini kumfanya Mungu ...mikono
|
|
|
|
"Itakuwa upumbavu kumfanya Mungu akasirike ... mikono
|
|
|
|
# aharibu kazi ya mikono yako
|
|
|
|
"aharibu kila kitu ufanyacho"
|
|
|
|
# Kwa kuwa katika ndoto nyingi, kama ilivyo katika maneno mengi, kuna mvuke ubatili
|
|
|
|
"Kuzidisha maneno haiipi umbo, kama vile kuwa na ndoto nyingi haizifanyi kuwa kweli zaidi."
|
|
|