sw_tn/ecc/05/06.md

450 B

Usiuruhusu mdomo wako kusababisha mwili wako kutenda dhambi

"Usiruhusu kile unenacho kikusababishe utende dhambi"

kwa nini kumfanya Mungu ...mikono

"Itakuwa upumbavu kumfanya Mungu akasirike ... mikono

aharibu kazi ya mikono yako

"aharibu kila kitu ufanyacho"

Kwa kuwa katika ndoto nyingi, kama ilivyo katika maneno mengi, kuna mvuke ubatili

"Kuzidisha maneno haiipi umbo, kama vile kuwa na ndoto nyingi haizifanyi kuwa kweli zaidi."