sw_tn/dan/02/12.md

552 B

kasirike na kughadhabika

Maneno haya kimsingi yanamaanisha kitu kile kile na kutia mkazo juu ukali wa hasira yake.

wale wote katika Babeli

"watu wote katika Babeli"

Hivyo, amri ilitoka

Amri inaongelewa kama ni kitu chenye uhai na chenye uwezo wa kwenda nje. "Mfalme aliipitisha amri"

wale wote waliojulikana kwa hekima yao ni lazima wauawe

Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Wanajeshi walitakiwa kuwaua watu wote waliojulikana kwa hekima zao"

ili kwamba wauawe

Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "kwa lengo la kuwaua"