forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
655 B
Markdown
17 lines
655 B
Markdown
# Nilipokuwa nafanya hivi
|
|
|
|
Paulo alitumia maneno haya kuonesha ushahidi mwingine. sasa anaelezea namna Yesu alipomuita toka kwenye kuwatesa watakatifu na kumfuata yeye.
|
|
|
|
# Nilipokuwa
|
|
|
|
neno hili limetumika kuonesha matukio mawili yanayotokea kwa wakati mmoja. Hapa Paulo alikuwa anawatesa watakatifu alipokuwa akienda Dameski.
|
|
|
|
# Kwa mamlaka na maagizo
|
|
|
|
Paulo alikuwa na barua toka kwa viongozi wa kiyahudi wakimpa mamlaka ya kuwatesa waamini wa Kiyahudi.
|
|
|
|
# Ni vigumu kwako kuupiga teke mchokoo
|
|
|
|
Mungu anafananisha kukataa kwa Paulo kuhusu mipango ya Mungu na ng'ombe anayepiga teke fimbo ya mkulima. "ngumu kwako kupambana na maelekezo ya Mungu kwako."
|
|
|