forked from WA-Catalog/sw_tn
655 B
655 B
Nilipokuwa nafanya hivi
Paulo alitumia maneno haya kuonesha ushahidi mwingine. sasa anaelezea namna Yesu alipomuita toka kwenye kuwatesa watakatifu na kumfuata yeye.
Nilipokuwa
neno hili limetumika kuonesha matukio mawili yanayotokea kwa wakati mmoja. Hapa Paulo alikuwa anawatesa watakatifu alipokuwa akienda Dameski.
Kwa mamlaka na maagizo
Paulo alikuwa na barua toka kwa viongozi wa kiyahudi wakimpa mamlaka ya kuwatesa waamini wa Kiyahudi.
Ni vigumu kwako kuupiga teke mchokoo
Mungu anafananisha kukataa kwa Paulo kuhusu mipango ya Mungu na ng'ombe anayepiga teke fimbo ya mkulima. "ngumu kwako kupambana na maelekezo ya Mungu kwako."