forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
586 B
Markdown
33 lines
586 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Paul anaitikia kwa Gavana Feliki kuhusu mashtaka yaliyowasilishwa dhidi yake.
|
|
|
|
# Gavana alimwashiria
|
|
|
|
"gavana akitoa ishara"
|
|
|
|
# mwamuzi wa taifa hili
|
|
|
|
Neno "taifa" linamaanisha watu wa taifa la Kiyahudi. "Mwamuzi wa wa watu wa taifa la Wayahudi"
|
|
|
|
# Kujieleza mwenyewe
|
|
|
|
"Kuielezea hali yangu"
|
|
|
|
# waweza kuhakikisha
|
|
|
|
"unauwezo wa kufuatilia na kuthibitisha"
|
|
|
|
# siku kumi na mbili tangu
|
|
|
|
"Siku 12 tangu"
|
|
|
|
# sikuweza kuhamasisha kusanyiko"
|
|
|
|
Neno "kuhamasisha" ni kuwafanya watu wasiwe na utulivu"
|
|
|
|
# mashitaka
|
|
|
|
"Lawama juu ya matendo maovu" au "mashitaka ya uharifu"
|
|
|