sw_tn/act/24/10.md

586 B

Sentensi unganishi

Paul anaitikia kwa Gavana Feliki kuhusu mashtaka yaliyowasilishwa dhidi yake.

Gavana alimwashiria

"gavana akitoa ishara"

mwamuzi wa taifa hili

Neno "taifa" linamaanisha watu wa taifa la Kiyahudi. "Mwamuzi wa wa watu wa taifa la Wayahudi"

Kujieleza mwenyewe

"Kuielezea hali yangu"

waweza kuhakikisha

"unauwezo wa kufuatilia na kuthibitisha"

siku kumi na mbili tangu

"Siku 12 tangu"

sikuweza kuhamasisha kusanyiko"

Neno "kuhamasisha" ni kuwafanya watu wasiwe na utulivu"

mashitaka

"Lawama juu ya matendo maovu" au "mashitaka ya uharifu"