sw_tn/act/23/12.md

413 B

Sentensi unganishi

Wakati Paulo akiwa kifungoni kwenye ngome, Wayahudi wasioamini waliapa kumwua.

Azimio

"kufanya nadhiri" au "kuapa mbele za Mungu"

Azimio

Ni makubaliano ya kawaida ya kufanya jambo fulani.

kuita laana juu yao wenyewe

Neno "laana" Walimwomba Mungu awalaani hama wasingetimiza nadhili yao

wanaume arobaini

wanaume 40

ambao walifanya njama hii

"ambao alipanga kumuua Paulo"