forked from WA-Catalog/sw_tn
413 B
413 B
Sentensi unganishi
Wakati Paulo akiwa kifungoni kwenye ngome, Wayahudi wasioamini waliapa kumwua.
Azimio
"kufanya nadhiri" au "kuapa mbele za Mungu"
Azimio
Ni makubaliano ya kawaida ya kufanya jambo fulani.
kuita laana juu yao wenyewe
Neno "laana" Walimwomba Mungu awalaani hama wasingetimiza nadhili yao
wanaume arobaini
wanaume 40
ambao walifanya njama hii
"ambao alipanga kumuua Paulo"