sw_tn/act/23/12.md

25 lines
413 B
Markdown
Raw Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Sentensi unganishi
Wakati Paulo akiwa kifungoni kwenye ngome, Wayahudi wasioamini waliapa kumwua.
# Azimio
"kufanya nadhiri" au "kuapa mbele za Mungu"
# Azimio
Ni makubaliano ya kawaida ya kufanya jambo fulani.
# kuita laana juu yao wenyewe
Neno "laana" Walimwomba Mungu awalaani hama wasingetimiza nadhili yao
# wanaume arobaini
wanaume 40
# ambao walifanya njama hii
"ambao alipanga kumuua Paulo"