sw_tn/act/21/10.md

866 B

Sentensi unganishi

Fungu hili linazungumzia habari ya unabii ulionenwa kumhusu Paulo katika Kaisaria kutoka kwa nabii Agabo.

nabii mmoja aitwaye Agabo

Hii inamtambulisha mtu mpya katika habari hii.

Agabo

Agabo alikua mtu kutoka Yudea

Kuchukua mkanda wa Paulo

"Aliutwaa mkanda wa Paulo kutoka kiunoni mwake"

na kusema, "Roho Mtakatifu asema hivi," "Wayahudi wa Yerusalemu watamfunga mtu anayemiliki mkanda huu

Alimaanisha kuwa Roho Mtakatifu alimjulisha Nabii Agabo kuwa Wayahudi huko Yerusalemu watamfunga Paulo kama alivyojifunga mkanda wa Paulo na kumkabidhi kwa watu wa mataifa.

Wayahudi

Hii haimanishi Wayahudi wote, lakini baadhi ya watu walifanya hivyo.

kumkabidhi mikononi mwa

"Kumkabidhi kwa"

katika mikono ya wamataifa

Neno "Mikono" Linawakirisha udhibiti.

Wamataifa

Neno hili linasimamia mamlaka miongoni mwa wamataifa.