forked from WA-Catalog/sw_tn
37 lines
866 B
Markdown
37 lines
866 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Fungu hili linazungumzia habari ya unabii ulionenwa kumhusu Paulo katika Kaisaria kutoka kwa nabii Agabo.
|
||
|
|
||
|
# nabii mmoja aitwaye Agabo
|
||
|
|
||
|
Hii inamtambulisha mtu mpya katika habari hii.
|
||
|
|
||
|
# Agabo
|
||
|
|
||
|
Agabo alikua mtu kutoka Yudea
|
||
|
|
||
|
# Kuchukua mkanda wa Paulo
|
||
|
|
||
|
"Aliutwaa mkanda wa Paulo kutoka kiunoni mwake"
|
||
|
|
||
|
# na kusema, "Roho Mtakatifu asema hivi," "Wayahudi wa Yerusalemu watamfunga mtu anayemiliki mkanda huu
|
||
|
|
||
|
Alimaanisha kuwa Roho Mtakatifu alimjulisha Nabii Agabo kuwa Wayahudi huko Yerusalemu watamfunga Paulo kama alivyojifunga mkanda wa Paulo na kumkabidhi kwa watu wa mataifa.
|
||
|
|
||
|
# Wayahudi
|
||
|
|
||
|
Hii haimanishi Wayahudi wote, lakini baadhi ya watu walifanya hivyo.
|
||
|
|
||
|
# kumkabidhi mikononi mwa
|
||
|
|
||
|
"Kumkabidhi kwa"
|
||
|
|
||
|
# katika mikono ya wamataifa
|
||
|
|
||
|
Neno "Mikono" Linawakirisha udhibiti.
|
||
|
|
||
|
# Wamataifa
|
||
|
|
||
|
Neno hili linasimamia mamlaka miongoni mwa wamataifa.
|
||
|
|