sw_tn/act/21/05.md

372 B

Taarifa ya jumla

Fungu hili linazungumzia waumini huko Tiro

Wakati tulipokuwa tumekaa siku kadhaa

Inaonyesha kuwa kuna muda waliokaa katika mji huo.

tukapiga magoti pwani, tukaomba

likuwa desturi ya kawaida kupiga magoti wakati wa kuomba. Hii ilikuwa ni alama ya kuonyesha unyenyekevu mbele za Mungu.

tukaagana kila mmoja

"Alisema 'kwaheri' kwa kila mmoja