forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
372 B
Markdown
17 lines
372 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla
|
||
|
|
||
|
Fungu hili linazungumzia waumini huko Tiro
|
||
|
|
||
|
# Wakati tulipokuwa tumekaa siku kadhaa
|
||
|
|
||
|
Inaonyesha kuwa kuna muda waliokaa katika mji huo.
|
||
|
|
||
|
# tukapiga magoti pwani, tukaomba
|
||
|
|
||
|
likuwa desturi ya kawaida kupiga magoti wakati wa kuomba. Hii ilikuwa ni alama ya kuonyesha unyenyekevu mbele za Mungu.
|
||
|
|
||
|
# tukaagana kila mmoja
|
||
|
|
||
|
"Alisema 'kwaheri' kwa kila mmoja
|
||
|
|