sw_tn/act/19/18.md

699 B

Sentensi unganishi

Huu ni mwisho wa sehemu ya habari inayowahusu Wayahudi wapunga mapepo.

Wakakusanya vitabu vyao

'Walikusanya vitabu vyao'. Neno "vitabu" linaelezea aina ya magombo yaliyokuwa yakitumika kuendeshea manuizio ya uchawi kutokana na mwelekezo wa maneno yaliyoandikwa humo.

mbele ya macho ya kila mtu

mbele ya kila mtu

thamani yake

"thamani ya vitabu" au "thamani ya yale magombo"

Elfu hamsini

50,000.00

vipande vya fedha

"Kipande cha fedha" ilikuwa takriban mshahara wa siku kwa mfanyakazi wa kawaida

Hivyo Neno la Bwana likaenea kwa upana sana katika njia yenye nguvu

"Kwasababu ya matendo makuu haya, watu wengi zaidi waliusikia ujumbe kuhusu Bwana Yesu."