forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
699 B
Markdown
29 lines
699 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwisho wa sehemu ya habari inayowahusu Wayahudi wapunga mapepo.
|
||
|
|
||
|
# Wakakusanya vitabu vyao
|
||
|
|
||
|
'Walikusanya vitabu vyao'. Neno "vitabu" linaelezea aina ya magombo yaliyokuwa yakitumika kuendeshea manuizio ya uchawi kutokana na mwelekezo wa maneno yaliyoandikwa humo.
|
||
|
|
||
|
# mbele ya macho ya kila mtu
|
||
|
|
||
|
mbele ya kila mtu
|
||
|
|
||
|
# thamani yake
|
||
|
|
||
|
"thamani ya vitabu" au "thamani ya yale magombo"
|
||
|
|
||
|
# Elfu hamsini
|
||
|
|
||
|
50,000.00
|
||
|
|
||
|
# vipande vya fedha
|
||
|
|
||
|
"Kipande cha fedha" ilikuwa takriban mshahara wa siku kwa mfanyakazi wa kawaida
|
||
|
|
||
|
# Hivyo Neno la Bwana likaenea kwa upana sana katika njia yenye nguvu
|
||
|
|
||
|
"Kwasababu ya matendo makuu haya, watu wengi zaidi waliusikia ujumbe kuhusu Bwana Yesu."
|
||
|
|