sw_tn/act/19/03.md

25 lines
484 B
Markdown

# Taarifa ya jumla
Paulo anaendeleza mjadala wake pamoja na waumini wapya huko Efeso.
# mlibatizwa katika nini?
"Ubatizo wa aina gani mliobatizwa?"
# Katika Ubatizo wa Yohana
"Tuliupokea ubatizo kupitia mafundisho aliyokuwa akifundisha Yohana"
# Ubatizo wa toba
"Ubatizo ambao watu waliuomba wakati walipotaka kugeuka kutaka kutubu dhambi zao
# yule ambaye angekuja
Hapa neno "Yule" linamaanisha Yesu.
# kuja baada yake
Hii inamaanisha angekuja baada ya Yohana Mbatizaji.