sw_tn/act/19/03.md

484 B

Taarifa ya jumla

Paulo anaendeleza mjadala wake pamoja na waumini wapya huko Efeso.

mlibatizwa katika nini?

"Ubatizo wa aina gani mliobatizwa?"

Katika Ubatizo wa Yohana

"Tuliupokea ubatizo kupitia mafundisho aliyokuwa akifundisha Yohana"

Ubatizo wa toba

"Ubatizo ambao watu waliuomba wakati walipotaka kugeuka kutaka kutubu dhambi zao

yule ambaye angekuja

Hapa neno "Yule" linamaanisha Yesu.

kuja baada yake

Hii inamaanisha angekuja baada ya Yohana Mbatizaji.