sw_tn/act/18/09.md

782 B

usiogope, lakini ongea na usinyamaze

Bwana anatoa amri moja katika njia mbili tofauti -"usiwe na hofu" na "Sema na wala usinyamaze"'-kufanya maneno yake kuwa na nguvu. "N lazima kuacha kuwa na hofu, na badala yake endelea kusema na usikae kimya.'

Ongea na usinyamaze

Mungu anamuamuru Paulo kwa nguvu aongee. " Hakika ni lazima uongee"

usinyamaze

"usinyamaze kuongelea kuhusu injili"

kwani Mimi niko pamoja nawe

"Mimi" inamaanisha Bwana, ambaye anaongea na Paulo.

Niko nawe

"nawe" inamaanisha Paulo , ambaye Bwana anaongea naye kwa njia ya maono.

nina watu wengi katika mji huu

"Kuna watu wengi katika mji huu walioweka imani yao kwangu"

Paulo akakaa huko...,akifundisha neno la Mungu miongoni mwao.

Hii ni kauli ya kumalizia kwa sehemu hii ya hadithi.