sw_tn/act/17/intro.md

902 B

Matendo 17 Maelezo kwa jumla

Dhana Maalum katika sura hii

Kutoelewana kuhusu Maasiya

Wayahudi walimtarajia Kristo ama Maasiya awe mfalme mwenye nguvu kwa vile Agano la Kale limesema hivyo mara nyingi. Agano hilo pia lizungumzia wakati ambapo Maasiya angeteseka na hayo ndio Paulo alikuwa akiwaambia Wayahudi. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/christ)

Dini ya Athene

Paulo alisema kwamba watu wa Athene walikuwa watu wa "Kidini" lakini hawakumuabudu Yahweh. Waliiabudu miungu wengi wasio kweli. Hapo awali waliwaleta watu wengi chini ya utawala wao na baadaye wakaanza kuabudu miungu zao. (Tazama: rc://en/tw/dict/bible/kt/falsegod)

Katika sura hii Luka anafafanua kwa mara ya kwanza jinsi Paulo alivyo waambia ujumbe wa Kristo kwa wale hawakufahamu lololete kuhusiana na agano la kale.

<< | >>