sw_tn/act/17/32.md

655 B

Taarifa unganishi

Hii ni sehemu ya mwisho wa hadithi kuhusu Paulo akiwa huko Athene

na watu wa Athene

Wale watu waliokuwepo pale Areopago wakimsikiliza Paulo

baadhi yao wakamdhihaki Paulo

Wale hawakuamini kuwa inawezekana kwa mtu yeyote kufa na kurudi tena kwenye maisha. "Baadhi walimdharau" au "baadhi walimcheka Paulo"

Sisi tutakusikiliza

"sisi" inarejea watu wa Athene ambao walitaka kumsikiliza Paulo. Waliongea moja kwa moja kwa Paulo lakini si pamoja Paul katika kundi lao."

Dionisio Mwareopago, na Mwanamke anaitwa Damari

Dionysius ni jina la mtu. Areopago ina maana kwamba Dionysius alikuwa mmoja wa majaji katika Areopago.