sw_tn/act/17/22.md

435 B

Taarifa ya Jumla

Paulo alianza mahubiri yake kwa wanafilosofia wa Areopago.

weny dini hasa katika kila namna

Paulo alikuwa akirejea jinsi Waathene wanavyoonyesha hadharani kuheshimu miungu kwa sala, kujenga madhabahu na kutoa dhabihu

kwani nilipokuwa nikipita

"kwasababu nilipotembea na kupita"

KWA MUNGU ASIYEJULIKANA

Inaweza ikawa na maana zifuatazo 1) "mungu fulani asiyejulikana" au 2)"kwa mungu yeyote tusiyemjua