forked from WA-Catalog/sw_tn
17 lines
435 B
Markdown
17 lines
435 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Paulo alianza mahubiri yake kwa wanafilosofia wa Areopago.
|
||
|
|
||
|
# weny dini hasa katika kila namna
|
||
|
|
||
|
Paulo alikuwa akirejea jinsi Waathene wanavyoonyesha hadharani kuheshimu miungu kwa sala, kujenga madhabahu na kutoa dhabihu
|
||
|
|
||
|
# kwani nilipokuwa nikipita
|
||
|
|
||
|
"kwasababu nilipotembea na kupita"
|
||
|
|
||
|
# KWA MUNGU ASIYEJULIKANA
|
||
|
|
||
|
Inaweza ikawa na maana zifuatazo 1) "mungu fulani asiyejulikana" au 2)"kwa mungu yeyote tusiyemjua
|
||
|
|