forked from WA-Catalog/sw_tn
29 lines
713 B
Markdown
29 lines
713 B
Markdown
# Wakamchukua
|
|
|
|
Wanafalsafa wa Waepikureo na Wastoike walimchukua Paulo"
|
|
|
|
# na kumleta Areopago
|
|
|
|
kilima katika Athene juu ambayo mahakama kuu ya Waethene ambapo huenda walikutana.
|
|
|
|
# Twaweza kujua haya mafundisho mapya unayoyaongea
|
|
|
|
"Twaweza" hapa inamaanisha mafilosopha peke yao. "'Tunataka kufanya uamuzi juu ya mambo haya unayodai "
|
|
|
|
# wote wa Athene
|
|
|
|
"Wananchi wa Athene" ni watu kutoka Athene, mji karibu na pwani katika Makedonia (sasa ni Ugiriki)
|
|
|
|
# na wageni
|
|
|
|
"Mtu mgeni" au "mtu mpya katika jamii ya Athene"
|
|
|
|
# hutumia muda wao kwaq hasara
|
|
|
|
"walitumia muda wao "au "hutumia muda wao"
|
|
|
|
# kuongea na kusikiliza juu ya jambo jipya
|
|
|
|
"Kujadili mawazo mapya ya falsafa" au "kuzungumza juu jambo jipya kwao'
|
|
|