sw_tn/act/17/19.md

713 B

Wakamchukua

Wanafalsafa wa Waepikureo na Wastoike walimchukua Paulo"

na kumleta Areopago

kilima katika Athene juu ambayo mahakama kuu ya Waethene ambapo huenda walikutana.

Twaweza kujua haya mafundisho mapya unayoyaongea

"Twaweza" hapa inamaanisha mafilosopha peke yao. "'Tunataka kufanya uamuzi juu ya mambo haya unayodai "

wote wa Athene

"Wananchi wa Athene" ni watu kutoka Athene, mji karibu na pwani katika Makedonia (sasa ni Ugiriki)

na wageni

"Mtu mgeni" au "mtu mpya katika jamii ya Athene"

hutumia muda wao kwaq hasara

"walitumia muda wao "au "hutumia muda wao"

kuongea na kusikiliza juu ya jambo jipya

"Kujadili mawazo mapya ya falsafa" au "kuzungumza juu jambo jipya kwao'