forked from WA-Catalog/sw_tn
33 lines
738 B
Markdown
33 lines
738 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Huu ni muda wa mwisho wa Paulo na Barnaba kukaa Antiokia ya Pisidia na wakaenda ikonia.
|
|
|
|
# Wayahudi
|
|
|
|
Hii yawezekana kuzungumzia viongozi wa Kiyahudi.
|
|
|
|
# Waliwasihi
|
|
|
|
"Kushawisha" au "kuhamasisha"
|
|
|
|
# Wanaume viongozi
|
|
|
|
"Wanaume mashuhuri"
|
|
|
|
# Haya yalichochea mateso dhidi ya Paulo na Barnaba
|
|
|
|
"Walishawishi wanaume mashuhuri na wanawake kuwatesa Paulo na Barnaba"
|
|
|
|
# waliwatupa nje ya mipaka ya mji.
|
|
|
|
"Waliwatoa Paulo na Barnaba kutoka nje ya mji"
|
|
|
|
# walikung'uta mavumbi ya miguu yao.
|
|
|
|
"Huu ulikuwa tukio la mfano kuonyesha kwa watu wasioamini kwamba Mungu alikuwa amewakataa na angeweza kuwahukumia"
|
|
|
|
# Wanafunzi
|
|
|
|
"Yawezekana ni wale waumini wapya walioamini huko Antiokia Pisidia ambao Paulo na Barnaba waliwaacha"
|
|
|