sw_tn/act/13/50.md

738 B

Sentensi unganishi

Huu ni muda wa mwisho wa Paulo na Barnaba kukaa Antiokia ya Pisidia na wakaenda ikonia.

Wayahudi

Hii yawezekana kuzungumzia viongozi wa Kiyahudi.

Waliwasihi

"Kushawisha" au "kuhamasisha"

Wanaume viongozi

"Wanaume mashuhuri"

Haya yalichochea mateso dhidi ya Paulo na Barnaba

"Walishawishi wanaume mashuhuri na wanawake kuwatesa Paulo na Barnaba"

waliwatupa nje ya mipaka ya mji.

"Waliwatoa Paulo na Barnaba kutoka nje ya mji"

walikung'uta mavumbi ya miguu yao.

"Huu ulikuwa tukio la mfano kuonyesha kwa watu wasioamini kwamba Mungu alikuwa amewakataa na angeweza kuwahukumia"

Wanafunzi

"Yawezekana ni wale waumini wapya walioamini huko Antiokia Pisidia ambao Paulo na Barnaba waliwaacha"